Sunday, 10 May 2015

The Bereans Gospel Singers - Hukumu Yaja lyrics




Ni mara ngapi umemkana,Bwana kwa matendo yako,ila hizo dhambi unazofanya,Wamsulubu Yesu
{(kumbuka) kumbuka hukumu inakuja kwa yale yoye unayotenda suri zitafichuliwa mbele zake Bwana Yesu} x2

                                                                CHORUS
    Hakuna hata mmoja,atayesimama mbele zake,akiwa Bwana hakimu,je utakuwa upande gani{,hukumu yaja kwa wale wote watendao maovu}  x2

Ni mara ngapi umeyawaza,yasiyo mema kwa Bwana,na kuyanena yasiyo haki kumbuka siku yaja
{(kumbuka) utavuna ulichopanda,kifo ama uzima wa milele,yajaposomwa majina,lako litakuwa wapi} x2
                                                    (CHORUS) X2
{(Hukumu)hukumu yaja kwa wale wote,watendao maovu} x2
{(Furaha) Furaha yaja kwa wale wote washindao mauti}  x4

No comments:

Post a Comment