Sunday, 10 May 2015

The Bereans Gospel Singers - Nimeona Nuru Lyrics




1.Nimeona nuru,nuru ya wokovu inanimulika{,nitajitahidi kuifuata nuru hii,na uzima wa milee} x2

                                                                                CHORUS
                    Sitaacha kuifuata nuru hiyo ya Bwana Yesu inaniongoza{,nuru yapendeza ndani ya giza na kuangaza kote milele na milele}  x2

2.Nimeona nuru,nuru ya wokovu neno lake Mungu lafukuza giza kama miale ya jua inayopendeza wote} x2

3.Nuru itangaa walimwengu wote waitazame,{waweze kupona ndani ya nuru hizo na dhambi haipo tena} x2
                                                    CHORUS  X2
Nuru yapendeza ngani ya giza na kuangaza kote milele na milele  x3

No comments:

Post a Comment