Walipomwona walihofu,kumbo ni
Yesu mkombozi wetu kwa sababu ya imani haba,hawakumtambua x2
CHORUS
Wanafunzi wa Yesu wakisafiri baharini usiku
dhoruba kali ikaanza wote wakaogopa wakakosa tumaini
(Ndipo akajitokeza kwa mbali walipomwona
wakawa na hofu kumbe ni Yesu x2) x2
Nasi tumefananishwa nao twajiita
kuwa wana wa Mungu lakini imani yetu haba hatutaokolewa x2
CHORUS
X3
No comments:
Post a Comment